Chama na mambo mawili tu Yanga

Mwanaspoti
Published: May 25, 2025 16:58:48 EAT   |  Sports

KIUNGO mshambuliaji Clatous Chama anayemaliza mkataba na Yanga, ana mambo mawili tu ili kuendelea kuonyesha ukubwa alionao katika soka la Tanzania.