Chama la Wana, Geita kumaliza ubishi

Mwanaspoti
Published: May 28, 2025 17:18:52 EAT   |  Sports

MECHI ya marudiano ya play-off kusaka tiketi ya kucheza Ligi Kuu Bara msimu ujao, inapigwa leo ambapo wenyeji, Stand United ‘Chama la Wana’, itakuwa kwenye Uwanja wa Kambarage, mjini Shinyanga kumalizana na Geita Gold.