Beki wa JKT aingia anga za Yanga

Mwanaspoti
Published: Feb 21, 2025 12:39:10 EAT   |  Sports

UNAIKUMBUKA ile mechi ya kwanza kwa kocha mpya wa Yanga, Hamdi Miloud alipovaana na JKT Tanzania na kulazimisha suluhu kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo?