Baada ya Simba kukosa ubingwa CAF, Manula atoa kauli nzito

Mwanaspoti
Published: May 27, 2025 13:38:52 EAT   |  Sports

SIKU chache baada ya Simba SC kupoteza nafasi ya kutwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika, golikipa wa timu hiyo, Aishi Manula, ameibuka na kutoa kauli nzito kuhusu kilichotokea.