Aziz KI ataja mambo mawili mazito Yanga

STEPHANE Aziz KI kwa sasa yupo nchini kwao Burkina Faso ambako ameenda kusalimia nyumbani kwao kabla ya kwenda Morocco kuanza majukumu rasmi ya kuitumikia Wydad Casablanca, lakini huku nyuma ametoa kauli iliyobeba mambo mawili makubwa.