Wanachuo watishia kuungana na Raila kwa maandamano

Taifa Leo
Published: Mar 23, 2023 12:01:05 EAT   |  News

NA RUSHDIE OUDIA VIONGOZI wa Muungano wa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu nchini (KUSO) wameafikiana kuwa watajiunga na maandamano ambayo yameitishwa na Kinara wa Azimio la Umoja-One Kenya Raila Odinga mara mbili kila wiki. Kupitia muungano huo, wanafunzi hao walisema kuwa gharama ya maisha nchini inaendelea kupanda na ni kupitia tu maandamano hayo ndipo serikali itawajibika […]