Wafanyabiashara waomba taa irekebishwe sokoni Kisekini

Taifa Leo
Published: Aug 31, 2023 09:23:06 EAT   |  Business

NA SAMMY KIMATU WAFANYABIASHARA katika kijiji cha Kisekini, kaunti ndogo ya Kathiani, Kaunti ya Machakos, wanakadiria hasara baada ya taa ya kituo cha kibiashara cha Kisekini kuharibika. Kutokana na hali hiyo, wafanyabiashara wanalazimika kufunga biashara kabla ya saa moja usiku. Akizungumza na Taifa Leo jana Jumatano, mhudumu wa duka, Bw Joseph Nzomo Kasema, alisema hawawezi […]