Vipusa wa Chelsea wacharaza Man-United na kutwaa taji la WSL msimu huu

Taifa Leo
Published: May 11, 2022 03:47:05 EAT   |  Sports

Na MASHIRIKA CHELSEA walishinda taji la Ligi Kuu ya Soka ya Wanawake nchini Uingereza (WSL) kwa mara ya tatu mfululizo baada ya kutandika Manchester United 4-2 katika siku ya mwisho kwenye kampeni za muhula huu mnamo Jumapili. Sam Kerr alifunga mabao mawili katika kipindi cha pili na kusaidia waajiri wake Chelsea kutoka nyuma na kuzamisha […]