Rais Ruto awateua makatibu wawili wa wizara kujaza nafasi zilizotokea

Taifa Leo
Published: May 31, 2023 20:32:41 EAT   |  News

NA CHARLES WASONGA  RAIS William Ruto mnamo Mei 31, 2023 amependekeza watu wawili wapya kwa uteuzi kuwa Makatibu wa Wizara. Bi Salome Wairimu Muhia-Beacco ameteuliwa kuwa Katibu wa Idara ya Magereza katika Wizara ya Usalama wa Ndani, kuchukua pahala pa Esther Ngero aliyejiuzulu juzi. Bi Muhia-Beacco ni Wakili wa Mahakama Kuu mwenye tajriba ya miaka […]