Nyota ya Waiguru yaendelea kung’aa tangu ajinasue kwa sakata ya NYS
NA WANDERI KAMAU KWA wengi, ingali fumbo kwamba Gavana Anne Waiguru (Kirinyga) ndiye mwenyekiti wa Baraza la Magavana (CoG). Naam, mwanamke wa kwanza kuwa mwenyekiti wa baraza hilo lenye ushawishi mkubwa katika uendeshaji wa mfumo wa ugatuzi nchini. Wadadisi wanamtaja Bi Waiguru kama mtu ambaye nyota yake ya kisiasa imeota na kung’aa katika mazingira tatanishi […]