Karen Nyamu: Samidoh alinichagua kwa sababu huvalia maridadi 

Taifa Leo
Published: Sep 03, 2023 10:30:00 EAT   |  Entertainment

NA SAMMY WAWERU  KAREN NYAMU mpango wa kando wa msanii wa Mugithi, Samuel Muchoki almaarufu Samidoh, ameelezea mojawapo ya sababu zilizochangia mwimbaji huyo kumchagua.  Amesema, yeye (Karen) huvalia maridadi, hivyo basi Samidoh alivutiwa na urembo wake. “Mimi ni mama mzuri huvalia vizuri nione kama nitaolewa,” Karen alisema. Akitangamana na mashabiki wake mitandaoni, alionekana kupandwa na mori […]