Kalonzo kupewa mwelekeo baada ya matokeo ya kamati ya Azimio

Taifa Leo
Published: May 10, 2022 13:54:59 EAT   |  Sports

NA SAMMY WAWERU MBUNGE wa Kathiani Robert Mbui amesema chama cha Wiper kitatoa msimamo wake kuhusu kinara wake, Kalonzo Musyoka matokeo ya atakayeteuliwa mgombea mwenza katika Azimio La Umoja-One Kenya yakitangazwa. Kamati teule ya muungano huo inaendeleza mahojiano ya kusaka atakayekuwa mgombea mwenza wa kiongozi wa ODM, Raila Odinga katika uchaguzi mkuu Agosti 9, 2022. […]