Idadi ya vifo vya wanawake wanaofariki wakijifungua Kilifi yapungua

Taifa Leo
Published: May 30, 2023 11:54:00 EAT   |  News

Na ALEX KALAMA  KIWANGO cha vifo vya wanawake wanaofariki wakati wa kujifungua maeneo ya mashinani Kilifi kimetajwa kupungua, kutokana na hamasa zinazotolewa kuhusu umuhimu wa kujifungulia hospitalini. Kulingana na Katibu wa muungano wa maafisa wa kujitolea wa afya ya nyanjani eneo la Magarini, Bw Micheal Katana tangu kuanzishwa kwa kampeni hiyo wanawake wengi wajawazito wamekuwa […]