Yanga yanasa beki wa Henry

KIKOSI cha Yanga jana kilishuka uwanjani kuvaana na Tanzania Prisons, lakini mashabiki wa klabu hiyo wana kila sababu ya kufurahi zaidi kwa sasa baada ya mabosi wa timu hiyo kumnasa beki wa kushoto fundi wa kumwaga maji.
KIKOSI cha Yanga jana kilishuka uwanjani kuvaana na Tanzania Prisons, lakini mashabiki wa klabu hiyo wana kila sababu ya kufurahi zaidi kwa sasa baada ya mabosi wa timu hiyo kumnasa beki wa kushoto fundi wa kumwaga maji.