Yanga matumaini bado yapo, Al Ahly ikishikwa

Mwanaspoti
Published: Dec 08, 2023 18:19:40 EAT   |  Sports

KLABU ya Yanga imeshikiliwa katika sare ya 1-1 dhidi ya Medeama ya Ghana, lakini makosa ya uamuzi yaliinyima bao ambalo lingetosha kuipa ushindi wa kwanza katika mechi yao ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika.