Usajili mpya Simba kushtua, Mbrazili ashikilia faili la mastaa wakali

SIMBA inaendelea kupiga hesabu za kucheza hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, lakini kocha wa timu hiyo Roberto Oliveira ‘Robertinho’ akili yake iko mbali sana - kuna kazi moja ya kibabe anaifanya itakayowashtua na kuwafurahisha mashabiki wa timu hiyo.