Twiga Stars yaitaka Olimpiki

Mwanaspoti
Published: Jun 02, 2023 15:14:20 EAT   |  Sports

SIKU moja baada ya kupangwa kukutana na Congo katika raundi ya kwanza ya kufuzu michezo ya Olimpiki 2024 huko Ufaransa, kocha wa timu ya taifa ya wanawake 'Twiga Stars', Bakari Shime ametamba kuwa watahakikisha wanatimiza lengo.