Stars, The Cranes patachimbika

TIMU ya taifa 'Taifa Stars' ina kibarua kizito leo cha kuhakikisha inashinda mchezo dhidi ya Uganda ambao utapigwa nchini Misri kwa ajili ya kufuzu michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON) itakayofanyika mwakani Ivory Coast.