Sopu amweka Diarra kiporo

MSHAMBULIAJI wa Azam FC, Abdul Sopu amesema kwa sasa wao kama wachezaji wanafanya maandalizi ya kumaliza msimu kwa kushinda mechi zilizosalia huku akimweka kiporo kipa wa Yanga, Djigui Diarra.
MSHAMBULIAJI wa Azam FC, Abdul Sopu amesema kwa sasa wao kama wachezaji wanafanya maandalizi ya kumaliza msimu kwa kushinda mechi zilizosalia huku akimweka kiporo kipa wa Yanga, Djigui Diarra.