Singida BS yashusha bosi mpya

Mwanaspoti
Published: Jun 03, 2023 08:32:25 EAT   |  Sports

KLABU ya Singida Big Stars imefikia makubaliano ya kumuajiri Ofisa Mtendaji Mkuu mpya, Olebile Sikwane raia wa Botswana kuanzia msimu ujao wa mashindano mbalimbali ya Ligi Kuu Bara na yale ya Kimataifa.