Singida BS yashusha bosi mpya

KLABU ya Singida Big Stars imefikia makubaliano ya kumuajiri Ofisa Mtendaji Mkuu mpya, Olebile Sikwane raia wa Botswana kuanzia msimu ujao wa mashindano mbalimbali ya Ligi Kuu Bara na yale ya Kimataifa.
KLABU ya Singida Big Stars imefikia makubaliano ya kumuajiri Ofisa Mtendaji Mkuu mpya, Olebile Sikwane raia wa Botswana kuanzia msimu ujao wa mashindano mbalimbali ya Ligi Kuu Bara na yale ya Kimataifa.