Simba, Yanga zaibeba Tanzania kuandaa Afcon 2027

Mwanaspoti
Published: Sep 29, 2023 13:16:53 EAT   |  Sports

SERIKALI imetaja moja ya sababu iliyoipa nafasi Tanzania kuwa moja ya nchi itakayoandaa fainali za mataifa ya Africa (AFCON) kuwa ni Simba na Yanga.