Simba yagawa barua kwa mastaa, yavamia ASEC kufuata winga

Mwanaspoti
Published: May 31, 2023 06:29:43 EAT   |  Sports

SIMBA ipo sokoni kuangalia silaha za kuondoa aibu kwa msimu ujao na unyonge wa mashabiki wanaoupitia kwa msimu huu, ikidondosha mataji yote, tayari imetua nchini Ivory Coast ikiwinda winga la ASEC Mimoses, huku mastaa wakilimwa barua.