Simba, GSM, TFF vita mbichi

Mwanaspoti
Published: Dec 12, 2021 10:32:25 EAT   |  Sports

ISHU ya mkataba wa GSM na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imebadilika baada ya jana Simba kugomea mkutano wa maandalizi sababu kubwa ikitajwa ni kuwemo na mabango ya mdhamini mwenza huyo wa Ligi Kuu Bara.