Sasii apewa mambo matano ya kuzingatia

Mwanaspoti
Published: Dec 12, 2021 10:35:01 EAT   |  Sports

MWAMUZI Herry Sasii amepewa mambo matano ili kuhakikisha anahitimisha salama ngwe ya dakika 90 ya dabi ya watani wa jadi Simba na Yanga hii leo kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam.