Robertinho aweka wazi mikakati mipya, awagusia watani
KOCHA Mkuu wa Simba,Robert Oliveira 'Robertinho'amewahakikishia mashabiki kwamba kuna mapinduzi makubwa yanakuja kwenye usajili wa klabu hiyo.
KOCHA Mkuu wa Simba,Robert Oliveira 'Robertinho'amewahakikishia mashabiki kwamba kuna mapinduzi makubwa yanakuja kwenye usajili wa klabu hiyo.