Ndemla kuwakosa Mbeya City

Mwanaspoti
Published: Mar 24, 2023 11:35:59 EAT   |  Sports

KIUNGO wa Singida Big Stars,Said Ndemla anatarajia kuukosa mchezo wa robo fainali ya Kombe la Azam Sports Federation (ASFC) dhidi ya Mbeya City unaotarajiwa kufanyika Aprili 2 mwaka huu katika uwanja wa Liti mkoani Singida.