Nabi ataja sababu ya Morrison kutoanza

Mwanaspoti
Published: Jun 02, 2023 08:47:39 EAT   |  Sports

Kocha Mkuu wa Yanga Nasreddine Nabi amevunja ukimya juu ya matumizi ya winga Bernard Morrison akisema Mghana huyo hana pumzi ya kutosha kucheza muda mrefu uwanjani.