Mshambuliaji wa kagera aibuka lulu Ulaya

Mwanaspoti
Published: Jun 02, 2023 09:48:33 EAT   |  Sports

MSHAMBULIAJI wa Kagera Sugar, Anuary Jabir aliyeko nchini Ubelgiji kwa ajili ya majaribio kwenye klabu ya KAA Gent huenda akapata dili la kucheza Ulaya msimu ujao kutokana na baadhi ya timu kuhitaji saini yake.