Mpole afichua siri za Lupopo

Mwanaspoti
Published: Jun 02, 2023 10:35:50 EAT   |  Sports

STRAIKA wa FC Lupopo, Mtanzania George Mpole amesema jambo kubwa alilojifunza kwenye Ligi Kuu ya nchini Congo ni mchezaji kujisimamia mwenyewe bila uangalizi wa kocha na viongozi, kikubwa kinachotazamwa ni kile anachokitoa uwanjani.