Mo atoa billion 2 kujenga Uwanja Simba

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi ya klabu ya Simba Mohamed Dewji 'Mo' amehaidi kutoa sh billion 2 kwa ajili ya ujenzi wa Uwanja wao.
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi ya klabu ya Simba Mohamed Dewji 'Mo' amehaidi kutoa sh billion 2 kwa ajili ya ujenzi wa Uwanja wao.