Mashujaa yachukua mfungaji bora

Klabu ya Mashujaa imedaka saini ya aliyekuwa mfungaji bora wa Ligi Kuu msimu wa 2016/17, Abrahman Mussa kwa jili ya kuongeza nguvu kwenye eneo la ushambuliaji.
Klabu ya Mashujaa imedaka saini ya aliyekuwa mfungaji bora wa Ligi Kuu msimu wa 2016/17, Abrahman Mussa kwa jili ya kuongeza nguvu kwenye eneo la ushambuliaji.