Mashujaa yachukua mfungaji bora

Mwanaspoti
Published: Dec 08, 2023 11:07:32 EAT   |  Sports

Klabu ya Mashujaa imedaka saini ya aliyekuwa mfungaji bora wa Ligi Kuu msimu wa 2016/17, Abrahman Mussa kwa jili ya kuongeza nguvu kwenye eneo la ushambuliaji.