JKT TZ yaanza na sare nyumbani

Mwanaspoti
Published: Sep 29, 2023 15:46:42 EAT   |  Sports

MAAFANDE wa JKT Tanzania imeambulia pointi moja ikicheza kwa mara ya kwanza nyumbani baada ya jioni hii kulazimishwa sare ya bao 1-1 na Kagera Sugar katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyopigwa Uwanja wa Kambarage, mjini Shinyanga.