Ihefu yaiwahi Simba mapema

BAADA ya kukusanya pointi sita kwa vigogo Yanga na Azam FC, Kocha Msaidizi wa Ihefu, Zuberi Katwila amerudisha timu haraka kambini tayari kujifua kwa mchezo wa Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) Aprili 7 huku akikiri kuwa na dakika 180 ngumu.