Dodoma Jiji yamkazia Medo kimtindo

Mwanaspoti
Published: Jun 02, 2023 15:02:18 EAT   |  Sports

TETESI za kocha mkuu wa Dodoma Jiji, Melis Medo kuhusishwa na klabu ya AFC Leopards ya Kenya zimezidi baada ya timu hiyo kutokuwa na matokeo mazuri.