Baresi akubali yaishe Mashujaa FC

Mwanaspoti
Published: Dec 09, 2023 09:43:04 EAT   |  Sports

MASHUJAA imecheza mechi nane mfululizo bila kupata ushindi katika Ligi Kuu Bara, kitu kimemfanya Kocha Mkuu wa timu hiyo, Abdallah Mohamed 'Baresi' kuamua kubwaga manyanga kwa kuandika barua ya kujiuzulu kukinoa kikosi hicho.