Baleke mambo bado kabisaaa

STRAIKA wa Simba, Jean Baleke amesema ana kazi kubwa ya kuifanya ili kuhakikisha huduma yake inakuwa na manufaa ndani ya kikosi hicho na mashabiki wanafurahia burudani anayoitoa anapokuwepo uwanjani.
STRAIKA wa Simba, Jean Baleke amesema ana kazi kubwa ya kuifanya ili kuhakikisha huduma yake inakuwa na manufaa ndani ya kikosi hicho na mashabiki wanafurahia burudani anayoitoa anapokuwepo uwanjani.