Azam yamtimua Lwandamina na benchi la ufundi

UONGOZI wa klabu ya Azam Fc umewatimua benchi zima la klabu hiyo baada ya kutoka sare 0-0 dhidi ya Kagera Sugar mchezo uliochezwa jana katika uwanja wa Chamazi.
UONGOZI wa klabu ya Azam Fc umewatimua benchi zima la klabu hiyo baada ya kutoka sare 0-0 dhidi ya Kagera Sugar mchezo uliochezwa jana katika uwanja wa Chamazi.