Amrouche awavimbia Waganda

Mwanaspoti
Published: Mar 24, 2023 08:53:48 EAT   |  Sports

KOCHA wa Taifa Stars, Adel Amrouche ameeleza namna ambavyo kikosi chake kipo tayari kwa mchezo wa kuwania nafasi ya kufuzu kwa ajili ya fainali za mataifa ya Afrika dhidi ya Uganda huku akiamini nyota wake wanaweza kuwapa raha Watanzania.