Wakali wa Amapiano kutumbuiza Elements BAR Machi 11th, ifahamu ngoma yao inayotamba DAR

Milard Ayo
Published: Mar 09, 2023 14:32:45 EAT   |  Entertainment

Ikiwa bado Afrika Kusini wanaendelea kuchukua vichwa vya habari hususani kupitia muziki wao unaopeta kwasasa kwenye chart mbalimbali. Sasa taarifa ninayotaka kukupatia ni kwamba Wakali kutokea Afrika Kusini Pcee & Justin99 wanatarajiwa kutumbuiza Machi 11 Jumamosi hii katika Chimbo liitwalo Elements BAR Masaki lilipo Dar es Salaam. Miongoni mwa ngoma walizowahi kusikika ni hii akiwa ZoTata […]

Ikiwa bado Afrika Kusini wanaendelea kuchukua vichwa vya habari hususani kupitia muziki wao unaopeta kwasasa kwenye chart mbalimbali.

Sasa taarifa ninayotaka kukupatia ni kwamba Wakali kutokea Afrika Kusini Pcee & Justin99 wanatarajiwa kutumbuiza Machi 11 Jumamosi hii katika Chimbo liitwalo Elements BAR Masaki lilipo Dar es Salaam.

.

Miongoni mwa ngoma walizowahi kusikika ni hii akiwa ZoTata pamoja na nyingine waliyoimba jina la kiswahili “Kilimanjaro”.

 

 

View this post on Instagram

 

A post shared by ELEMENTS (@elementstz)