Wabunge washauri Songas kuongezwa mkataba kwa ufanisi wa kazi

Mbunge wa Jimbo la Singida Magharibi Elibariki Kingu amekuwa miongoni mwa wabunge waliochangia makadirio ya mapato na matumizi ya wizara ya Nishati kwa mwaka wa Fedha 2023/24.
Mbunge wa Jimbo la Singida Magharibi Elibariki Kingu amekuwa miongoni mwa wabunge waliochangia makadirio ya mapato na matumizi ya wizara ya Nishati kwa mwaka wa Fedha 2023/24.