Wabunge washauri Songas kuongezwa mkataba kwa ufanisi wa kazi

Milard Ayo
Published: May 31, 2023 13:51:36 EAT   |  News

Mbunge wa Jimbo la Singida Magharibi Elibariki Kingu amekuwa miongoni mwa wabunge waliochangia makadirio ya mapato na matumizi ya wizara ya Nishati kwa mwaka wa Fedha 2023/24.

Mbunge wa Jimbo la Singida Magharibi Elibariki Kingu amekuwa miongoni mwa wabunge waliochangia makadirio ya mapato na matumizi ya wizara ya Nishati kwa mwaka wa Fedha 2023/24.