Gumzo;Mwanaume akatisha uhusiano na mpenzi wake kisa alimwomba pesa za kusuka

Kijana mmoja ameingia kwenye mtandao wa Twitter kueleza hali iliyompelekea kukatisha uhusiano wake na mpenzi wake kisa kuomba pesa ya akwenda kusuka. Kijana huyo anayejulikana kwa jina la @ArtificialSteez kwenye Twitter, alisema kuwa gari lake lilipata ajali, hivyo alilazimika kulipia gari jingine kwa muda, huku akijaribu kurekebisha lililoharibika na alisema kuwa kampuni ya bima […]