“Fedha za mkopo zinatumika kwa usafiri na mawasiliano” BOT

Milard Ayo
Published: Dec 13, 2021 00:55:11 EAT   |  Business

Taarifa ya mwezi ya Maendeleo ya Uchumi inayotolewa kila mwezi na Benki Kuu ya Tanzania yameonesha sehemu kubwa ya fedha zinazokopwa nje hutumika kwa Usafiri na Mawasiliano.

Taarifa ya mwezi ya Maendeleo ya Uchumi inayotolewa kila mwezi na Benki Kuu ya Tanzania yameonesha sehemu kubwa ya fedha zinazokopwa nje hutumika kwa Usafiri na Mawasiliano.

27.2% ya deni ilitumika kwa usafiri Oktoba 2020, kwa Septemba 2021 na Oktoba 23.2% ilitumika kwa usafiri na mawalisiliano. Aidha sehemu inayofuata baada ya usafiri ni ustawi wa jamii na elimu ambayo kwa Oktoba 2021 imetumia 16.2%

Sekta ya utalii inawekewa kiwango kidogo zaidi cha fedha zinazokopwa nje ambapo kwa Oktoba 2021 ni 1.0% ya deni la nje ilitumika kwa sekta hiyo.