From: 2023-03-16 to: 2023-03-29
( )
AFISA MUUGUZI MSAIDIZI DARAJA LA II - 25 POST
Ministry Of Health (MOH)
Duties & Responsibilities

i   Kutoa huduma za uuguzi;
ii   Kukusanya takwimu muhimu za afya;
iii  Kuwaelekeza kazi wauguzi walio chini yake;
iv  Kuelimisha wagonjwa na jamii kuhusu matatizo yao ya kiafya;
v   Kutoa huduma za kinga na uzazi; na
vi  Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake.

Qualifications

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne/sita wenye Stashahada (Diploma) ya Uuguzi ya muda usiopungua miaka miwili kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali, waliosajiliwa na Baraza la Wauguzi na Wakunga Tanzania.

Remuneration

TGHS B