Devastating droughts last year in the Horn of Africa and currently in Southern Africa, as well as cyclones and floods, have also increased the region's struggles.
NA RICHARD MUNGUTI MMILIKI wa Porkies Club Paul Wainaina Boiyo na wafanyakazi wake watano wamepatikana na hatia ya kumuu aliyekuwa Mbunge wa Juja George Thuo miaka 11 iliyopita. Lakini punde...
Shangazi, Mpenzi wangu ndiye mtoto wa pekee na mama yake hajaolewa. Juzi nilishangaa mama yake aliponipigia simu akisema ananipenda na kuniomba niachane na binti yake ili tuwe wapenzi. Nifanyeje? Ni...
Na GEORGE MUNENE FAMILIA ya Sajini Mkuu John Kinyua Mureithi aliyeangamia baada ya helikopta ya kijeshi kuanguka Alhamisi, ameacha familia changa na alikuwa tegemeo la wazazi wake. Familia ilisema mwanajeshi...
Na JOSEPH OPENDA FAMILIA ya Kapteni Hillary Shirekule Litali, aliyeangamia katika ajali ya ndege Alhamisi, imemtaja kama mchangamfu, mwenye nidhamu na kujituma, mcha Mungu na aliyeiweka familia yake mbele. Kapteni...
Devastating droughts last year in the Horn of Africa and currently in Southern Africa, as well as cyclones and floods, have also increased the region's struggles.
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Benki ya Akiba (ACB) imezindua huduma ya kadi za VISA ambazo ni mahususi kwa kufanya miamala ya kifedha na ina uwezo wa kutumika sehemu yoyote...
NA MASHIRIKA WASHINGTON DC, AMERIKA AMERIKA imewafurusha raia 50 wa Haiti ambao walihamia Washington kutokana na mapigano makali yanayoendelea Port-au-Prince. Msemaji wa Wizara ya Usalama wa mambo ya ndani Amerika,...
Na Mwandishi Wetu ZIKIWA zimebaki siku chache kabla ya kuanza kwa kampeni ya Chanjo ya Saratani ya Shingo ya Kizazi, Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto kupitia Idara ya Afya na...
Marehemu Mkuu wa Majeshi (CDF) Francis Ogolla, 62, anatazamiwa kuzikwa nyumbani kwake Ng’iya huko Alego Usonga mnamo Aprili 21 hii ni kwa mujibu wa familia yake. Viongozi pia walifichua kwamba...
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi amesema Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan...