Rupia kidogo tu asepe Singida Black Stars
MSHAMBULIAJI wa Singida Black Stars, Mkenya Elvis Rupia amesema ilibaki kidogo tu aondoke dirisha dogo la usajili la Januari baada ya kutoridhishwa na baadhi ya mambo japo kwa sasa kila kitu kipo freshi.
MSHAMBULIAJI wa Singida Black Stars, Mkenya Elvis Rupia amesema ilibaki kidogo tu aondoke dirisha dogo la usajili la Januari baada ya kutoridhishwa na baadhi ya mambo japo kwa sasa kila kitu kipo freshi.