Rupia kidogo tu asepe Singida Black Stars

Mwanaspoti
Published: Jan 25, 2025 11:42:44 EAT   |  Sports

MSHAMBULIAJI wa Singida Black Stars, Mkenya Elvis Rupia amesema ilibaki kidogo tu aondoke dirisha dogo la usajili la Januari baada ya kutoridhishwa na baadhi ya mambo japo kwa sasa kila kitu kipo freshi.