Mwambusi ana deni Coastal Union

Mwanaspoti
Published: Jan 25, 2025 11:52:19 EAT   |  Sports

KOCHA Mkuu wa Coastal Union, Juma Mwambusi amesema kazi imebaki kwake na wachezaji kuhakikisha kupambana ili kufikia malengo ya kucheza tena Ligi Kuu Bara msimu ujao baada ya uongozi kufanyia kazi usajili dirisha dogo.