Mkongomani azitaka tatu za Simba

Mwanaspoti
Published: Jan 25, 2025 11:55:46 EAT   |  Sports

WAKATI Tabora United ikijifua kwa mchezo wa kiporo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba, kocha Anicet Kiazayidi amesema hana presha huku akisifu kiwango cha wapinzani wao.