Wanavyogeuza taka kuwafaidi kimaisha
NA LABAAN SHABAAN AGHALABU taka na harufu mbaya ni taswira ya kawaida katika maeneo ya masoko mijini na hali si tofauti katika Soko la Korogocho jijini Nairobi. Kundi la vijana na wanabiashara wa Korogocho wanadhibiti takataka sokoni kutengeneza makaa, mafuta, sabuni, kuni, chakula cha mifugo, mbolea na sharubati. Kulingana na ripoti ya Shirika la Chakula […]