Wamatangi aahidi kugeuza Kiambu kitovu cha maendeleo
NA LAWRENCE ONGARO WACHUUZI wa bidhaa tofauti wa mji wa Thika watapewa nafasi ya kuendesha biashara yao bila kutatizwa. Gavana wa Kiambu Bw Kimani Wamatangi, alifanya mkutano muhimu mnamo Jumanne na wachuuzi hao mjini Thika kwa lengo la kutatua shida zao. Hivi majuzi ilani ya wiki mbili iliwekwa kwa wachuuzi hao Kwa lengo la kuwataka kuondoka […]