WALIOBOBEA: ‘Sirkal’ alipokataa wadhifa serikalini
KWA HISANI YA KENYA YEARBOOK NCHINI Kenya, nyadhifa za uwaziri haziwezi kuchukuliwa kama zinazotoshana- au kuwa sawa. Kila moja ina ushawishi wake, na hii pengine inaelezea kwa nini baadhi ya nyadhifa za uwaziri huwa zinang’ang’aniwa. Wizara hizo ni kama fedha, usalama wa ndani, afya, kawi na elimu ambazo kwa kawaida husimamiwa na watu wa karibu […]